Karibu Nikuhudumie.
ushawahi kujiuliza kwanini biashara za watu waliokuwa serious na Network Marketing zinakua haraka sana na kufanikiwa kwa urahisi kuliko direct marketing?
well, suluhu yake ni rahisi zaidi. Socialization. Yes, SOCIALIZATION!!!
kila kazi ya mikono unayoifanya pasipo socialization ni kazi bure. kama unafikiria kujiajiri,ni lazima ujenge SOCIALIZATION kama unataka kuata zaidi. ila kama unataka kupata kidogo, sio mbaya ukiwa na uelewa mbaya sana wa socialization, lakini, ni lazima utakuwa nao hata kiduuchu.
jaribu tuu kujiuliza, socialization ni nini? kwanini kuna SOCIAL MEDIA? Je, imetokana na SOCIALIZATION? inafanyeje kazi kwenye kukua na kundelea kwa biashara yangu?
historia ya socialization ilianza tangu mwanadamu wa kwanza alipoanza kutengeneza jamii na makazi ya kudumu, mnamo miaka milioni 750 iliyopita. huu ni wakati ambao mwanadamu wa kwanza alianza kugundua talanta nyingine mbalimbali za kumfanya aishi, mfano uvuvi, ukulima, kuchonga vyuma na kadhalika. maana hapa aliachana na kutegemea mawindo pekee.
dunia ya sasa tuna maendeleo makubwa sana ya sayansi na teknolojia ambayo yanatupeleka kwenye zama za kale tena pasipo kujielewa. mf. unaweza kula,kuoga, kuvaa na kununua chochote ukiwa chumbani mwako. ukiwa na simu ya mkononi, mtandao (network) na kifaa cha internet (Simu,iPad, Laptop, etc) vinatosha kununua chochote hata kama ni umeme,chakula, maji, nk. na ukaletewa mpaka chumbani mwako. je, unapataje muda wa kuSOCIALIZE na wenzio?
suala linakuja pale unapokuwa na uhitaji wa fedha au kukua kwa biashara yako. unahitaji uwe star wa ghaflagafla ili uuze na kufanya bashara vizuri. unauzaje sasa? SOCIALIZATION.
1. JUA UNAUZA NINI KWA WATEJA WAKO.
hata kama unauza bidhaa ya aina yoyote ile, ni vyema ukafunua kichwa chako na kufikiria kwa undani ili kujua bidhaa yako ni nini na ina malengo gani kwa mtumiaji. hapa naomba nieleweke vizuri. suala sio kujua biashara yako kwa jina tuu, maana utakuwa wa ajabu kama hujui vyema jina la biashara yako; bali namaanisha kujua vizuri kile unachokiuza. hembu nikutolee mfano. unataka kufanya biashara ya ndizi, ila hujui hata ni ndizi za aina gani zilizopo duniani, na sokoni, zipi zina faida/hasara, utunzaji wake, zinakomaaje, mbivu zikoje na mbichi zinakuwaje.
angalizo la kujua biashara yako ni la muhimu kulikomambo yote, hata kama baishara yako hauijui vizuri. maana, kama haujui bidhaa unayouza, ni sawa na kutojua kinachoendelea katika biashara yako.
2. JUA UNAUZA WAPI BIASHARA YAKO
heheh, eti kuna watu huwa wanauza mchicha jeshini, au wanauza samaki ziwani. hatusemi kama unaweza usiuze, la hasha, ila unaweza ukauza kwa hasara au ukapiga nayo picha biashara yako. utafiti mwepesi unaanzia pale unapoishi, na maeneo ya jirani. maeneo yenye msongamano wa watu wengi yanaweza kuwa na nafasi nzuri kwa wewe kufanya biashara, laikin pia yanategemea na uhitaji wa bidhaa hiyo na asili yake. kwa mfano. kwenye kituo cha basi, kuna wasafiri, maana bidhaa zinazoendana na usafiri zitafanya kazi.
Stendi ya Mabasi Mkoani unaweza kufanya biashara ya vitu vya kula wasafiri, pipi, chocolate, juices na mikate. ila pia uanweza kuuza, ukifikiria kwa undani; bidhaa maalum pasipo kutegemea. mf. watu wanaoishi Kanda ya ziwa hununua sana mafuta ya alizeti wakiika singida. kanda ya ziwa nazi moja huuzwa kwa tshs.1600/= hadi tshs. 2000/= lakini je, unaowauzia bidhaa yako wana uelewa na hamu nayo hiyo bidhaa?
3. UNAMUUZIA NANI BIASHARA YAKO.
SOCIALIZATION inakupa jibu la jambo hili. unapokutana na watu wengi zaidi, unajifunza mengi zaidi. wataalamu wa biashara ya mtandaoni wanaweza kunithibitishia hili. unajuana na watu kumi, wale kumi wakiongea na wengine kumi, nao pia wakawaambia na wengine, wanakuwa watu zaidi ya thelatini. sasa fikiria kama unajuana na watu mia..unajua???
well, hizo story zipo sana vichwani vyao. ila ujanja halisi ni huu. unawasiliana vipi na watu kwenye kujichanganya nao na wakajua wewe unafanya nini hapa duniani? hilo ndilo la msingi. aidha wakucheke, wakununie, wakuponde, au wakusilibie. huenda usijali sana. maana wakikuita yule fundi kimeo, ujue wameuona ufundi wako, ingawa ni kimeo, ila siku wakimhitaji fundi ni lazima wakukumbuke.
4. UNAUZA NINI KWA WATEJA WAKO
Huenda ukachelewa kupata kazi na kuitwa kutoa huduma kama upo eneo lenye ushindani mkubwa, ila ni muhimu mtu akujue tuu kila anapokuona, au anapoiona bidhaa yako. mteja ajue unauza nini. mfano unauza bidhaa za chooni,lazima ziwe na muonekano wa chooni. chookinatakiwa kiwe kisafi muda wote, hivyo kama unauza dawa ya chooni, ni muhimu kuiweka kwenye mahala pasafi na enye kuvutia usafi, ili ile imani ya bidhaa yako kufanya kazi kwa ufanisi iwepo. sio unauza dawa ya chooni, alafu dawa yenyewe ipo kama choo. kaah! atanunua nani?
5. UNA MUONEKANO GANI KWA WATEJA WAKO WAPYA?
amini kuwa, kila mteja ni mpya,hasa kama umeuona ushindani wa hatari kwenye dunia yetu ya sasa isiyo na kitu kipya. kila unachofikiria yupo mwenzio aliyefikiria kabla yako na akafanya. sasa yanini kujiona wewe ni bora kuliko mwenzio? au labda useme kuwa unamringishia..
wengine hujali sana SOCIALIZATION interraction hasa wakiona wateja wapya. hubadilishana nao mawasiliano na kuonesha namna wanavyojali biashara yao, na thamani ya kutoa huduma bora zaidi. Vitu kama Business Cards na Flyers hutolewa kwa ukarimu na huduma bora ya kumsikiliza mteja angalau tuu akufikirie wewe kwanza kwenye biashara yako. wel, they work! Trust Me!
SOCIALIZATION NI NINI?
Socialization ni kujichanganya. Kuwa Makini, Kujitambua, Kuchanua Biashara, Kupangilia Mikakati yako, Kugawanya Majukumu ya Biashara yako. KUJICHANGANYA. ukiwa makini utanielewa vizuri. maana vyote nimevitaja hapo Juu.
DJ Charlie One.
Charlieonetz June, 2018.
Charlii Tanzania
fahamu, jifunze na uburudike kuhusu Filamu, Muziki na Maisha katika Picha, Maandishi au Video.
Thursday, June 21, 2018
Friday, May 19, 2017
Saturday, March 11, 2017
Tanzania Yangu, Nchi Yangu
nimekuwa nikiwaza kwa muda mrefu pasipo kuwa na jibu. huenda sina kipaji kikubwa cha kuifanya nchi yangu ifaidi kupitia mimi, ila sitoshindwa kufanya chochote kwa ajili ya nchi yangu. kwa hilo ninaamini sana.
nilipokuwa kijana, rafiki zangu weengi waliwahi kuniambia kuwa nina 'hood' ya kimarekani zaidi, au wakisema kuwa mi ni wa mbele, sikupaswa kuzaliwa hapa Bongo. nililewa sifa na kuwa bishoo kupindukia, nikiona raha kwa maneno yao ya ajabuajabu. mpaka nilipopata ufahamu kuwa ninapoteza muda pasipo kufanya mambo ya msingi na maana kwa ajili ya nchi yangu, na hata mimi mwenyewe.
wazo la kutengeneza hivi limetokana na umuhimu wa kuuonesha upendo wa nchi yangu. Nimekuwa msemaji wa maneno mengi, nikitoa maoni mbalimbali na hata kushabikia vitu vingi visivyo asili yangu, huku nikisahau mambo meengi mazuri ambayo yapo nchini kwangu pekee, na hayapo hata chembe sehemu nyinginezo hapa duniani.
na hii ni kasumba ya vijana wengi hapa nchini, ambao hupenda kusifia au kupendelea vya wageni na kuvikataa vya kwao. kwa wataalamu wa mambo ya falsafa na sayansi ya Jamii (Sociology) huipa jina dhana hiyo la Xenocentric Culture.
utampendaje 50 cent, kendrick Lamar au Joe cole huku ukimuacha Joh Makini, Ali Kibba na Diamond kama wanamuziki wako? utaachaje bendi safi za muziki wa asili ya tanzania, au hata za dansi safi la msondo na sikinde na kwenda kutukuza muziki wa kikongo na wa magharibi?
utumwa wa fikra. utumwa mabao ukiuendekeza, unakuwa masikini. Ni heri uwe masikini kifedha kuliko kifikra. unashindwaje kuzitambua mbuga za wanyama tele zilizopo hapa nchini? Mbuga ya kwanza duniani yenye tawala yake mpaka baharini? nyumbani kwa flamingo, sokwe wa ajabu na pekee huko songwe, vyura wa kihansi, Mlima mrefu barani afrika na maajabu yake, na mengineyo meengimeengi mengi.
jiji linalokua kwa kasi barani afrika, lipo Tanzania. tuna kila kitu kizuri, ila tunashindwaje kuvitukuza?
jaribu kutizama hii video fupi, alafu ujionee mazuri yaliyopo nchini kwetu
nilipokuwa kijana, rafiki zangu weengi waliwahi kuniambia kuwa nina 'hood' ya kimarekani zaidi, au wakisema kuwa mi ni wa mbele, sikupaswa kuzaliwa hapa Bongo. nililewa sifa na kuwa bishoo kupindukia, nikiona raha kwa maneno yao ya ajabuajabu. mpaka nilipopata ufahamu kuwa ninapoteza muda pasipo kufanya mambo ya msingi na maana kwa ajili ya nchi yangu, na hata mimi mwenyewe.
wazo la kutengeneza hivi limetokana na umuhimu wa kuuonesha upendo wa nchi yangu. Nimekuwa msemaji wa maneno mengi, nikitoa maoni mbalimbali na hata kushabikia vitu vingi visivyo asili yangu, huku nikisahau mambo meengi mazuri ambayo yapo nchini kwangu pekee, na hayapo hata chembe sehemu nyinginezo hapa duniani.
na hii ni kasumba ya vijana wengi hapa nchini, ambao hupenda kusifia au kupendelea vya wageni na kuvikataa vya kwao. kwa wataalamu wa mambo ya falsafa na sayansi ya Jamii (Sociology) huipa jina dhana hiyo la Xenocentric Culture.
utampendaje 50 cent, kendrick Lamar au Joe cole huku ukimuacha Joh Makini, Ali Kibba na Diamond kama wanamuziki wako? utaachaje bendi safi za muziki wa asili ya tanzania, au hata za dansi safi la msondo na sikinde na kwenda kutukuza muziki wa kikongo na wa magharibi?
utumwa wa fikra. utumwa mabao ukiuendekeza, unakuwa masikini. Ni heri uwe masikini kifedha kuliko kifikra. unashindwaje kuzitambua mbuga za wanyama tele zilizopo hapa nchini? Mbuga ya kwanza duniani yenye tawala yake mpaka baharini? nyumbani kwa flamingo, sokwe wa ajabu na pekee huko songwe, vyura wa kihansi, Mlima mrefu barani afrika na maajabu yake, na mengineyo meengimeengi mengi.
jiji linalokua kwa kasi barani afrika, lipo Tanzania. tuna kila kitu kizuri, ila tunashindwaje kuvitukuza?
jaribu kutizama hii video fupi, alafu ujionee mazuri yaliyopo nchini kwetu
Sunday, May 15, 2016
Friday, January 15, 2016
Washindani wa Oscar Academy Awards watajwa, Leonardo Di Caprio ang'ara
Filamu
mpya kabisa iliyoigizwa na kinara Leonardo Di Caprio, “The Revenant,” simulizi ya mtu jasiri anayelipiza kisasi, imekuwa
kinara kwenye Ushindani wa tunzo za Oscar zilizotangazwa hapo jana, Nchini
Marekani.
Filamu
hiyo imepata nafasi 12 za kushindania tuzo za Oscar Academy, ikiwemo ile ya
picha bora (Jongefu) ya mwaka, Muongozaji Bora, na Uchezaji bora wa Mastaa Leonardo DiCaprio na Tom Hardy.
Ikifuatana
kwa ukaribu zaidi na Filamu ya kisa cha Kupambania kuishi, “Mad Max: Fury Road” imepata nafasi 10 za kuwania
tuzo hizo za Utaalamu wa Filamu ikiwemo ya Filamu Bora, na Muongozaji Bora, mwenye
uraia wa Australia aliyepumzika kwenye tasnia hiyo kwa miaka mitatu sasa kabla
ya kuongoza filamu hiyo.
Jumla ya
filamu nane zimechaguliwa kushiriki kuwania tuzo ya Filamu Bora ikiwemo “Spotlight,” “The Martian,” “Bridge of
Spies,”(007 James Bond) “The Big Short,”
“Room,” na kuhitimishwa na “Brooklyn” .
Kwa mara
nyingine tena, Wapigaji kura wa tuzo hizo wamepokea malalamiko kutoka sehemu
mbalimbali duniani kuhusiana na muelekeo wao wa kuamua nani ashiriki tuzo hizo
au laa, huku akikosekana muigizaji bora wa kiume mwenye asili ya kiafrika/mmarekani
mweusi hata mmoja.
Malalamiko
hayo kutoka kwa wadau wa filamu duniani ambayo yamekuwa yakisambaa kwenye
mitandao mbalimbali ya kijamii ikiwemo Twittter dakika chache baada ya
kutangazwa washindani hapo jana jioni, yamekuwa yakizihusisha filamu nzuri na
zenye ubora wa pekee kama vile “Concussion”
(will smith) “Creed”( Michael B. Jordan), “Chi-raq” na “Beast of No Nation”
(Idris Elba) zikikosa nafasi ya ushindani huku zikiwakilishwa na filamu pekee
ya “Straight Outta Compton” yenye vijana wengi weusi, kwenye kundi la Original
Screenplay pekee.
Malalamiko
hayo yalidai uhalali huo kuwa ni mwaka wa pili sasa, tangu mwaka jana ambapo
filamu stahiki iitwayo “Selma” ikiongozwa na Ava Du vernay iliyoigizwa na David
Eyewolo kushindwa kushindana.
Malalamiko
hayo hayakuishia hapo, yalikwenda mbali zaidi nakudai kuwa Mafanikio ya Mauzo ya
kihistoria kwa filamu kinara, “Star Wars:
The Force Awakens” imekosa nafasi kushiriki kwenye filamu bora ya mwaka, na
badala yake kupata nafasi tano pekee kwenye ushindani wa kiufundi (technical
categories) hasahasa kwenye upande wa Sauti,
Uhariri (Editing), na visual effects.
Filamu
nyingine zilizotemwa kwenye kinyanganyiro cha Best Picture ni “Straight Outta Compton,” stori
maarufu ya kuanzishwa kwa kikundi cha muziki wa hip-hop; na “Creed” ambayo
imeambulia nafasi moja ya Actor in a Supporting role (Sylvester Stallone) .
Waongozaji waliotoswa (Directors ni pamoja na Steven Spielberg’s (“Bridge of
Spies”), Quentin Tarantino’s (“The Hateful
Eight”), na Mwandishi wa Miswada Aaron
Sorkin (“Steve Jobs”)
Alejandro
Inarritu, aliyeshinda tuzo ya Muongozaji bora wa mwaka Jana kwenye filamu ya “Birdman”
ameshiriki tena mwaka huu kwenye kazi yake mpya na inayotazamiwa zaidi iitwayo “The Revenant.” Kwa miezi sasa, filamu hiyo
imekuwa ikizungumziwa kwenye vyombo vya habari na mitandao ya kijamii namna
matatizo yake ya kibajeti ya utengenezaji wa filamu hiyo yalivyoongezeka kutoka
$90 million to $135 million (Bilioni 180
mpaka Billioni 270) na kisha Dairekta huyo kuwasafirisha Cast na Jopo zima la
waaandaaji mpaka kwenye kilele cha barafu kwenye milima midogo ya huko
Argentina ndanindani, na uwanda wa wazi wa Canada, huku wakirekodi kwa mwanga
asilia. (a.k.a. No taa)
Tuzo
hizo zenye watazamaji ulimwenguni kote, zitaoneshwa live February 28,
zikishehereshwa tena na Muigizaji mweusi, Chris Rock. Aliwahi kuwa MC mwaka
2005 na waandaaji wanaamini kuwa ataleta upekee, nguvu na mvuto wa ziada kwa watazamaji
vijana waliokosa hamasa hiyo kwa miaka kadhaa. Mwaka jana, Neil Patrick Harris,
alishika kipaza na watazamaji kushuka kutoka million 43 mpaka millioni 36.6
million.
Hii hapa
ni list kamili ya washiriki wanaoshindania tuzo za mwaka 2016 za Oscars Academy:
Best
motion picture of the year/Filamu bora (jongefu) ya mwaka:
“The Big
Short”
“Bridge
of Spies”
“Brooklyn”
“Mad
Max: Fury Road”
“The
Martian”
“The
Revenant”
“Room”
“Spotlight”
Performance
by an actor in a leading role/mwigizaji bora wa kiume(mhusika mkuu) wa mwaka:
Bryan
Cranston in “Trumbo”
Matt
Damon in “The Martian”
Leonardo
DiCaprio in “The Revenant”
Michael
Fassbender in “Steve Jobs”
Eddie
Redmayne in “The Danish Girl”
Performance
by an actress in a leading role/ muigizaji bora wa kike (mhusika mkuu) wa mwaka:
Cate
Blanchett in “Carol”
Brie
Larson in “Room”
Jennifer
Lawrence in “Joy”
Charlotte
Rampling in “45 Years”
Saoirse
Ronan in “Brooklyn”
Performance
by an actor in a supporting role/ Muigizaji bora wa kiume (uhisika msaidizi) wa
mwaka:
Christian
Bale in “The Big Short”
Tom
Hardy in “The Revenant”
Mark
Ruffalo in “Spotlight”
Mark
Rylance in “Bridge of Spies”
Sylvester
Stallone in “Creed”
Performance
by an actress in a supporting role/ muigizaji bora wa kike (uhusika msaidizi)
wa mwaka:
Jennifer
Jason Leigh in “The Hateful Eight”
Rooney
Mara in “Carol”
Rachel
McAdams in “Spotlight”
Alicia
Vikander in “The Danish Girl”
Kate
Winslet in “Steve Jobs”
Achievement
in directing/ Mafanikio kwenye Uongozaji :
“The Big
Short” Adam McKay
“Mad
Max: Fury Road” George Miller
“The
Revenant” Alejandro G. Iñárritu
“Room”
Lenny Abrahamson
“Spotlight”
Tom McCarthy
Adapted
screenplay (Filamu iliyotoholewa):
“The Big
Short” Screenplay by Charles Randolph and Adam McKay
“Brooklyn”
Screenplay by Nick Hornby
“Carol”
Screenplay by Phyllis Nagy
“The
Martian” Screenplay by Drew Goddard
“Room”
Screenplay by Emma Donoghue
Original
screenplay/Filamu halisia:
“Bridge of
Spies” Written by Matt Charman and Ethan Coen & Joel Coen
“Ex
Machina” Written by Alex Garland
“Inside
Out” Screenplay by Pete Docter, Meg LeFauve, Josh Cooley; Original story by
Pete Docter, Ronnie del Carmen
“Spotlight”
Written by Josh Singer & Tom McCarthy
“Straight
Outta Compton” Screenplay by Jonathan Herman and Andrea Berloff; Story by S.
Leigh Savidge & Alan Wenkus and Andrea Berloff
Best
animated feature film of the year/Katuni Bora (Ndefu) ya mwaka:
“Anomalisa”
Charlie Kaufman, Duke Johnson and Rosa Tran
“Boy and
the World” Alê Abreu
“Inside
Out” Pete Docter and Jonas Rivera
“Shaun
the Sheep Movie” Mark Burton and Richard Starzak
“When
Marnie Was There” Hiromasa Yonebayashi and Yoshiaki Nishimura
Best
documentary feature/ Makala Bora ya Mwaka:
“Amy” Asif
Kapadia and James Gay-Rees
“Cartel
Land” Matthew Heineman and Tom Yellin
“The
Look of Silence” Joshua Oppenheimer and Signe Byrge Sørensen
“What
Happened, Miss Simone?” Liz Garbus, Amy Hobby and Justin Wilkes
“Winter
on Fire: Ukraine’s Fight for Freedom” Evgeny Afineevsky and Den Tolmor
Best
foreign language film of the year/ Filamu bora ya lugha ya kigeni ya mwaka:
“Embrace
of the Serpent” Colombia
“Mustang”
France
“Son of
Saul” Hungary
“Theeb”
Jordan
“A War”
Denmark
Achievement
in cinematography/ Mafanikio katika Utaalamu wa kupiga picha (jongefu):
“Carol”
Ed Lachman
“The
Hateful Eight” Robert Richardson
“Mad
Max: Fury Road” John Seale
“The
Revenant” Emmanuel Lubezki
“Sicario”
Roger Deakins
Achievement
in costume design/ mafanikio katika Ubunifu wa Mavazi:
“Carol”
Sandy Powell
“Cinderella”
Sandy Powell
“The
Danish Girl” Paco Delgado
“Mad
Max: Fury Road” Jenny Beavan
“The
Revenant” Jacqueline West
Best
documentary short subject/ Makala(Fupi) Bora ya mwaka:
“Body
Team 12” David Darg and Bryn Mooser
“Chau,
beyond the Lines” Courtney Marsh and Jerry Franck
“Claude
Lanzmann: Spectres of the Shoah” Adam Benzine
“A Girl
in the River: The Price of Forgiveness” Sharmeen Obaid-Chinoy
“Last
Day of Freedom” Dee Hibbert-Jones and Nomi Talisman
Achievement
in film editing/ mafanikio katika Uhariri wa Filamu:
“The Big
Short” Hank Corwin
“Mad
Max: Fury Road” Margaret Sixel
“The
Revenant” Stephen Mirrione
“Spotlight”
Tom McArdle
“Star
Wars: The Force Awakens” Maryann Brandon and Mary Jo Markey
Achievement
in makeup and hairstyling/mafanikio kwenye Upambaji wa Nywele na Muonekano:
“Mad
Max: Fury Road” Lesley Vanderwalt, Elka Wardega and Damian Martin
“The
100-Year-Old Man Who Climbed out the Window and Disappeared” Love Larson and
Eva von Bahr
“The
Revenant” Siân Grigg, Duncan Jarman and Robert Pandini
Achievement
in music written for motion pictures (Original score)/ Mwandishi bora wa Muziki
wa filamu (Mafanikio Asilia):
“Bridge
of Spies” Thomas Newman
“Carol”
Carter Burwell
“The
Hateful Eight” Ennio Morricone
“Sicario”
Jóhann Jóhannsson
“Star
Wars: The Force Awakens” John Williams
Achievement
in music written for motion pictures (Original song)/mwandishi bora wa muziki
wa filamu (Nyimbo asilia):
“Earned
It” from “Fifty Shades of Grey”
Music
and Lyric by Abel Tesfaye, Ahmad Balshe, Jason Daheala Quenneville and Stephan
Moccio
“Manta
Ray” from “Racing Extinction”
Music by
J. Ralph and Lyric by Antony Hegarty
“Simple
Song #3” from “Youth”
Music
and Lyric by David Lang
“Til It
Happens To You” from “The Hunting Ground”
Music
and Lyric by Diane Warren and Lady Gaga
“Writing’s
On The Wall” from “Spectre”
Music
and Lyric by Jimmy Napes and Sam Smith
Achievement
in production design/ Mafanikio katika Ubunifu wa Uandaaji wa Filamu :
“Bridge
of Spies” Production Design: Adam Stockhausen; Set Decoration: Rena DeAngelo
and Bernhard Henrich
“The
Danish Girl” Production Design: Eve Stewart; Set Decoration: Michael Standish
“Mad
Max: Fury Road” Production Design: Colin Gibson; Set Decoration: Lisa Thompson
“The
Martian” Production Design: Arthur Max; Set Decoration: Celia Bobak
“The
Revenant” Production Design: Jack Fisk; Set Decoration: Hamish Purdy
Best
animated short film/ Katuni Bora (Fupi) ya mwaka:
“Bear
Story” Gabriel Osorio and Pato Escala
“Prologue”
Richard Williams and Imogen Sutton
“Sanjay’s
Super Team” Sanjay Patel and Nicole Grindle
“We
Can’t Live without Cosmos” Konstantin Bronzit
“World
of Tomorrow” Don Hertzfeldt
Best
live action short film/Filamu bora (fupi) ya mwaka:
“Ave
Maria” Basil Khalil and Eric Dupont
“Day
One” Henry Hughes
“Everything
Will Be Okay (Alles Wird Gut)” Patrick Vollrath
“Shok”
Jamie Donoughue
“Stutterer”
Benjamin Cleary and Serena Armitage
Achievement
in sound editing/ Mafanikio katika Uhariri wa Sauti:
“Mad
Max: Fury Road” Mark Mangini and David White
“The
Martian” Oliver Tarney
“The
Revenant” Martin Hernandez and Lon Bender
“Sicario”
Alan Robert Murray
“Star
Wars: The Force Awakens” Matthew Wood and David Acord
Achievement
in sound mixing/ Mafanikio katika Uchanganyaji wa Sauti:
“Bridge
of Spies” Andy Nelson, Gary Rydstrom and Drew Kunin
“Mad
Max: Fury Road” Chris Jenkins, Gregg Rudloff and Ben Osmo
“The
Martian” Paul Massey, Mark Taylor and Mac Ruth
“The
Revenant” Jon Taylor, Frank A. Montaño, Randy Thom and Chris Duesterdiek
“Star
Wars: The Force Awakens” Andy Nelson, Christopher Scarabosio and Stuart Wilson
Achievement
in visual effects/ Mafanikio katika Kutengeneza Taswira zenye Matokeo :
“Ex
Machina” Andrew Whitehurst, Paul Norris, Mark Ardington and Sara Bennett
“Mad
Max: Fury Road” Andrew Jackson, Tom Wood, Dan Oliver and Andy Williams
“The
Martian” Richard Stammers, Anders Langlands, Chris Lawrence and Steven Warner
“The
Revenant” Rich McBride, Matthew Shumway, Jason Smith and Cameron Waldbauer
“Star
Wars: The Force Awakens” Roger Guyett, Patrick Tubach, Neal Scanlan and Chris
Corbould
Chanzo
Variety
Subscribe to:
Posts (Atom)