Monday, August 18, 2014

Madonna asheherekea birthday yake kwa kupost picha ya utupu kwenye Instagram


Mwanadada Mchapakazi na Mwanamuziki maarufu Duniani, Madonna Louise Ciccone (Madonna) picha yake ya instagram ikimuonesha akiwa kifua wazi, na bila ya chochote cha kumfunika kifuani.

Hii ndio picha aliyoipost Madonna kwenye akaunti yake ya Instagram juzi
Madonna ameonesha furaha hiyo hivi karibuni katika siku yake ya kuzaliwa iliyofanyika tar 16 agosti mwaka huu.
Angalia jinsi Flash ilivyoficha chuchu ya titi lake. Post yake inasemekana kukinzana na maadili ya akaunti ya Instagram. 

Flashlights zenye herufi M zilizotengenezwa kwenye birthday yake
Hii inawezekana kuwa picha ya zamani, kwani amefikisha miaka 56 juzi lakini anaonekana bado mwenye uzri wa pekee kama kijana.

Pete ya Birthday ya Rihanna
Pia aliweza kupost picha zingine zikimuonesha akiwa jioni kwenye mtoko, na nyingine pia akionesha pete yake mpya ya siku ya kuzaliwa.

No comments: